Katika mkutanono huo mhe Doyo alipongeza hutuba ya mh Rais wa JAMHURI ya MUUNGANO wa Tanzanian kwa kukubaliana na mapendekezo yote yaliyopendekezwa na tume hiyo aidha mhe doyo amesiaitiza pendekezo namba nne na pendekezo namba tano mamlaka husika wayafanyie kazi haraka kuondoa mzozo uliopo wa kisiasa hapa nchi
